Pages

Wednesday, November 16, 2011

WANAFUNZI WA UDSM WALIOKUWAPO MIKONONI MWAPOLISI WAACHILIWA

Wanafunzi waliokamatwa siku ya ijumaa, katika maandamano yaliofanyika chuo kikuu cha Dar es salaam compus ya mwalimu Nyerere waachiliwa kutoka mikononi mwa polisi.Wanafunzi hao waliokuwa wanaandamana kudai fedha za mikopo za baadhi ya wanafunzi wenzao wa mwaka wa kwanza walikamatwa mara baada ya kukiuka amri ya polisi, iliyowaomba watawanyike kwa madai maandamano hayakuwa halali. walikwekwa ndani kwa muda wa siku takriban tano(5). wameachiliwa leo mara baada ya mgomo wa siku mbili wa kutoingia madarasani.

No comments: