Pages

Wednesday, August 15, 2012

Muongozo mpya kwa wasafiri wanaotumia meli kwenda Zanzibar


Nchini Tanzania mamlaka inayosimamia misafara ya meli imetoa muongozo mpya kwa ajili ya wasafiri wanaotumia vyombo vya baharini kufuatia mfululizo wa ajali za meli zilizogharimu maisha ya watu.
Je, muongozo huu utapunguza ajali hizi ambazo zinaonekana kukosa ufumbuzi kwa sasa? Iddi Ssessanga amezungumza na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Azam Marine na Coastal Ferries, Hussein Mohammed Said, na kwanza alianza kumuelezea madhumuni ya muongozo huo.


Sikiliza mazungumzo kati ya Iddi Ssessanga na Hussein Mohamed Said

No comments: